Saturday, November 16, 2013

SEND OFF YA MCHUMBA WANGU HUKO SUMBAWANGA......

Mimi Kama Blogger pia nina matukio yanayonikuta katika maisha yangu.

Na haya ni baadhi ya yaliyotokea wakati wa Send Off ya Mke wangu Mtarajiwa.....

Nimeyaweka makusudi ili Vijana Zaidi wavutiwe kufunga Ndoa Takatifu.

Jionee mwenyewe na Ubarikiwe
Mimi na Mdogo wangu Kenny Julius Kabla ya kuingia kwenye Sherehe



Picha Zaidi Baadaae ....
Endelea Kufuatilia www.fundiinno.blogspot.com


No comments:

Post a Comment

PLEASE LEAVE YOUR COMMENTS HERE. HELP BLOG DEVELOPMENT

Print It: